Chuo kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, kimetangaza ajira 105, kwa watumishi mbali mbali, wakiwemo wauguzi, wataalamu wa maabara, watunza kumbukumbu na madereva kwa ajili ya hospitali yake mpya iitwayo Mloganzila (Mloganzila Academic and Medical centre)-MAMC
Kupata maelezo zaidi ya vigezo na namna ya kujiunga BONYEZA HAPA
![]() |
Hospitali ya MAMC |
No comments:
Post a Comment